msaada kwa wale wataalam wa Android

msaada kwa wale wataalam wa Android

muudy

Senior Member
Joined
May 25, 2013
Posts
156
Reaction score
22
natumia tecno P3 tatizo ni kwamba nime download WhatsApp na avast tu but nikiendelea ku download program zingine inaniambia memory full heb wataalam nipen ujuzi hapa .........
 
Je ni original au famba?
Kama ni original unachotakiwa kufanya ni kurestore simu, then unapoinstall application zi install kwenye memory card
 
1)Hizo tu ndo app ulizo downlod
2) nibora unge root hiyo cm ndo ungeweza kupeleka app
Kwenye sd card
 
Back
Top Bottom