Msaada: Kwa wakristo

Msaada: Kwa wakristo

nemoo

Senior Member
Joined
Feb 23, 2015
Posts
104
Reaction score
19
Hivi Yesu asingezaliwa tungekuwaje? Nini kingetokea na tungeishije? Na mahusiano yetu na Mungu yangekuwaje? Naombeni mnisaidie wanaolewa ahsanteni.
 
Tusingekua na mkombozi. Na kama binadamu wasiokamilika (sinful) tusingeweza kuwa right na Mungu. Mungu is without sin and he can't abide where there is sin. All in all, God had/has predestined all including our lives.
 
Hivi Yesu asingezaliwa tungekuwaje? Nini kingetokea na tungeishije? Na mahusiano yetu na Mungu yangekuwaje? Naombeni mnisaidie wanaolewa ahsanteni.
Kwa kuwa alizaliwa, maswali yako yanakuwa hayako valid
 
Kuna mambo hayaingii akilini mungu kuoa na kupata mtoto mh
 
Back
Top Bottom