Msaada: Kwa wakazi wa jiji la Arusha.

Msaada: Kwa wakazi wa jiji la Arusha.

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
3,988
Reaction score
1,308
Habari ndugu zanguni wana jf.

Kwa ndugu zangu wa Arusha naomba msaada kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata "speckled Pigeon" njiwa hawa wanapatikana Arusha, Dodoma na Tabora.

Mimi ni one of few pigion breeder in Tanzania na nina species chache za njiwa kama American Fantail, African owl pigeon, king pigeon, crested helmet pigeon na hommer pigeons. Nataka kujaribu ku cross breed speckled pigeon na aina tofauti ya njiwa.

Kwa yeyote ambae ataweza kunisaidia nitampatia zawadi na naomba ani PM.

Shukran.

Mohammed
 

Attachments

  • Speckled_Pigeon,_Arusha.jpg
    Speckled_Pigeon,_Arusha.jpg
    65.6 KB · Views: 278
Hivyo vitu damu yake ni chakula cha majini ,ol, kwanza unakibali cha kusafirsha hao ndege usije ukawa kama wale wapakistani wa kusafirisha twiga wetu.
 
Kwa yeyote ambae ataweza kunisaidia nitampatia zawadi na naomba ani PM.
Weka wazi hiyo zawadi usije ukawa wewe ni Jangiri! (Niko Arusha)
 
Ni kweli wanaonekana nakutia moyo ukiweza visit Arusha hata kama hutatupata wengine lakini watu wa Arusha wana ushirikiano lazima watakusaidia.
 
Mkuu hao njiwa wanapatikana kwa wingi sana maeneo ya Karatu,,i have lived there once wapo wengi sana hata kwa mkono waweza wakamata sababu wanaweka viota vyao hadi kwende nyumba za watu,,kwenye hospital ya Karatu pia wapo wana viota vyao so waweza wasiliana na mtu wa maeneo hayo atakusaidia,,
Best of luck
Habari ndugu zanguni wana jf.

Kwa ndugu zangu wa Arusha naomba msaada kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata "speckled Pigeon" njiwa hawa wanapatikana Arusha, Dodoma na Tabora.

Mimi ni one of few pigion breeder in Tanzania na nina species chache za njiwa kama American Fantail, African owl pigeon, king pigeon, crested helmet pigeon na hommer pigeons. Nataka kujaribu ku cross breed speckled pigeon na aina tofauti ya njiwa.

Kwa yeyote ambae ataweza kunisaidia nitampatia zawadi na naomba ani PM.

Shukran.

Mohammed
 
Mkuu hao njiwa wanapatikana kwa wingi sana maeneo ya Karatu,,i have lived there once wapo wengi sana hata kwa mkono waweza wakamata sababu wanaweka viota vyao hadi kwende nyumba za watu,,kwenye hospital ya Karatu pia wapo wana viota vyao so waweza wasiliana na mtu wa maeneo hayo atakusaidia,,
Best of luck


Shukrani sana kaka nimepata mtu ambae anaweza kunisaidia finger crossed.
 
mudy tuwasiliane.very serious nahitaji indian fantail.na aina zingine ulizonazo.si unaweza kuniuzia?
 
Back
Top Bottom