MSAADA: Kwa waislam tu

Status
Not open for further replies.
Kama ina madhara na wewe au inakulewesha ni haramu.

Vyakula karibu vyote hutokosa kuipata "ethanol" ukiitafuta.
Sukari ni mfano mzuri lakini kama hauitumii kwa ulevi ni halali na kama inakudhuru ukiitumia ni haramu.
Huko Iraq wanachinjana kwa spidi kali sana eti Suni anaua shia halafu anasema Allah akbra

Huko Siria wanakatana makoo huku wakisema Allahu akibar
Huko Afghanistan muislam akienmda shule anapigwa risasi huku wakisema Allahu akibar
Huko Nigeria wanachinja watu kila kukicha wakristo kwa waislamu huku wakisema Allahu akibar na kujichukulia watoto wa shule na kuwageuza wake kinguvu
Hata kwa nini mnawalaumu wakristo na wamarekani kuwa wanachuki na nyie wakati ni nyie wenyewe mnaojichukia?
Leo hata watoto wadogo wanaogopa kuwa waislamu kwa sababu wanayoyaona kwenye TV na youtube yanatisha.
Huwezi kuta mkristo anachinja mtu.

Kweli kabisa, haki ya kuchinja ni ya waislamu na wanatuonyesha mfano hai
 
waislamu wana vituko sana, yani itabidi hadi rais awe na mshauri maalum wa mambo ya kiislamu.

je wewe mleta mada wakati wa kuchamba unazamisha kidole chote cha kati ili kujisafisha kama uislamu unavyofundisha?

...haaaaa..!? kama ndo hivo. ?. ningeacha hiyo dini..!
 

Aya za Pombe zipo tatu, na Quraan iliteremshwa kwa awamu kuanzia mwanzo mpaka mwisho kama Injil ilivoteremshwa! NAomba nikupe ufafanuzi..usitake kupotosha watu!

Zamani kabla haijashuwa Quraan watu walikuwa wakinywa sana Pombe,. kwa HIKMA huwezi kumuachisha Pombe mtu kwa mara moja, lazima uende nae taratibu, hii ikapelekea Aya za Pombe kushuka kwanza ikaja hii, kwamba watu wasikaribie Pombe huku wamelewa,..

Ikaenda hii ikashushwa nyingine kwamba Ndani ya Pombe kuna manufaa na hasara lakini hasara ni kubwa zaidi

"Wanakuuliza juu ya ulevi na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa na manufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Na wanakuuliza watoe nini? Sema: Kilicho chepesi. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Aya zake mpate kufikiri" Albaqara (2:219).

Hii yote ni kuwafanya watu waache Pombe taratibu, mwisho ikashuswa Aya ya kutakataza kabisa "Pombe, Kamari na kupiga ramli,"

"Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa". Al MAida (5:90)

Sasa usiwe unapenda kupotsosha. Pombe ni Ummul Maaswi...Ni Mama wa Maasi! na hakuna anaelipinga hili!

ukitaka zaidi nenda hapa

Uislamu Afrika: Madhara ya ulevi kwa binadamu

NAtegemea utakuwa umeelimika,

Nyie ndio mfano wa yule mwanamke alofasiri Aya ya wanawake ni nguo zenu akaishia hapo na kusema wamedhalilishwa Acheni inaonekana MMeshikwa pabaya !
 
hii yote Bwana Yesu alishasema mie sitaki kujisumbua " Kimtokacho mtu ndio haramu"
 
Kama ina madhara na wewe au inakulewesha ni haramu.

Vyakula karibu vyote hutokosa kuipata "ethanol" ukiitafuta.

Sukari ni mfano mzuri lakini kama hauitumii kwa ulevi ni halali na kama inakudhuru ukiitumia ni haramu.

...kwahiyo ukila kitimoto kama hakina madhara basi ni sawa...?
 
kwa mantik hyo bas ni haramu 35% ni nyng sana.. haram ni haram hakuna ndogo wala kubwa

maaana wine ya DOMPO ina 18%
na most of wine iko chini ya hiyo %
which means?????
 
WENYELE Kama kuua watu wasio na hatia kwa ajili ya kumtetea ALLAH na dini yake imeruhusiwa, basi inshallah hata kula chakula chenye alcohol inaruhusiwa. Nadhani nimekujibu Shekhe
 
waislamu wana vituko sana, yani itabidi hadi rais awe na mshauri maalum wa mambo ya kiislamu.

je wewe mleta mada wakati wa kuchamba unazamisha kidole chote cha kati ili kujisafisha kama uislamu unavyofundisha?
Ha ha ha ha! Duhh
 

usimsingizie allah wenu kwa maamuzi ya ntume wenu! Eti nguruwe mchafu, sawa ila nyama yake ni taaaaammmuu usipime!
 

Nguruwe analeta maradh? We chiz kwel ......!
 
Mwislamu Kama unakunywa kwa ajili ya jihad inaruhusiwa.

Yani kama unaenda kulipua mabomu watu afu ukakosa ujasiri wa kuua, unaruhusiwa kunywa ili ukatekeleze hiyo Jihad.

Ndio Maana Alshabab wana kontena kibao ya pombe kwenye makambi yao.
 
Kwenye pepo ya kiislamu kuna pombe balaa, logically huwezi kuacha kunywa pombe duniani wakati peponi kuna breweries

Kuna kinywaji lakini si pombe, pombe ni zenu za duniani.

Tena si "breweries" kuna mito ya vinywaji, ewe punguani.

Pombe kwenye biblia wanapewa watu waliokata tamaa ya maisha na si starehe. Umesahau?
 
Katika uelewa wa watu kumegawanyika makundi matatu.Kuna asiyejua na anajua hajui huyo akijuzwa atajua.Mtu wa pili ni yule anayejua na anajua kuwa anajua lakini anajifanya hajui,huyu hana faida katika jamii.Mtu wa tatu ni yule asiyejua na anajijua hajui lakini hutunisha misuli akijifanya anajua na huyu ndiye muharibifu sana na ukikuta mahali pana hali yskutoelewana ujue kati yake kuna mtu wa aina hii ya tatu.Hebu tuwaachie wanaojua watupe faida kuliko kuwaambukiza watu wengine ujinga.
 
Mwislamu Kama unakunywa kwa ajili ya jihad inaruhusiwa.

Yani kama unaenda kulipua mabomu watu afu ukakosa ujasiri wa kuua, unaruhusiwa kunywa ili ukatekeleze hiyo Jihad.

Ndio Maana Alshabab wana kontena kibao ya pombe kwenye makambi yao.

Na mahirizi pia mkuu.
 
Kuna kinywaji lakini si pombe, pombe ni zenu za duniani.

Tena si "breweries" kuna mito ya vinywaji, ewe punguani.

Pombe kwenye biblia wanapewa watu waliokata tamaa ya maisha na si starehe. Umesahau?

Tupe mstari uliokwenye Biblia unaosema pombe inapewa watu waliokata tamaa ya maisha sio kuongea uongo tu hapa hatupo kwenye mihadhara.
 
Wagalatia mna tabu sana. Mtu kauliza swali kwa waislamu mnaanza kuleta chuki. Anyway, we already knew this kwa sababu hata Mungu anasema wana chuki kubwa kuliko wanavyodhihirisha. Kimsingi kwa uzi kama huu mlitakiwa mpite kimya kimya tu ila kwa roho zenu za korosho mmechemsha kabisa. Viroho vinakereketa balaa.
 

hebu haya mapovu yako yapeleke jukwaa la dini tuondole kiwingu hapa kwendraa!
 
waislamu wana vituko sana, yani itabidi hadi rais awe na mshauri maalum wa mambo ya kiislamu.

je wewe mleta mada wakati wa kuchamba unazamisha kidole chote cha kati ili kujisafisha kama uislamu unavyofundisha?

Matola ni wewe kweli mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…