Msaada kwa wahitimu wa Diploma

Msaada kwa wahitimu wa Diploma

social 006

Member
Joined
Mar 7, 2021
Posts
6
Reaction score
2
Hivi vitu gani ni muhimu anapaswa kuwa navyo mhitimu wa diploma ili kuweza kufanya maombi ya vyuo kwa usahihi.
 
Una GPA ya ngapi? Una diploma ya nini
 
Hivi vitu gani ni muhimu anapaswa kuwa navyo mhitimu wa diploma ili kuweza kufanya maombi ya vyuo kwa usahihi.
Pamoja na GPA yako nzr bila kuwa na award verification number AVN,hutofanya chochote...!Tafuta hicho kitu ndiyo access ya ku apply chuo...!
 
Back
Top Bottom