mingane kabika
Member
- Sep 7, 2014
- 89
- 31
Salama wana jf,
Ningependa kutoa mawazo yangu hasa kuhusu watumiaji wa barabara hasa kwenye maeneo ya pundamilia ama zebra, kumekuwepo na namna tofauti ama uelewa tofauti kwa baadhi ya matumizi sahihi ya eneo hilo, kuna watu wanalitumia kwa kupita bila kuwa na tahadhari yoyote, mtu anakata barabara kwa mwendo wa taratibu mno au pia kuanza kuonesha namna ya ufundi wa kutembea, na ukizingatia tupo katika wimbi hili kubwa la waendesha pikipiki wasiotambua ama kuzielewa alama za barabarani na inawezekana pia hawapendi kujifunza sheria za uendeshaji salama!
Nimeshuhudia mara kadhaa ajali ambazo zingeweza kuepukika kwa watumiaji wa barabara, je ni elimu ipi ama njia zipi zitumike ili kuweza kuwasaidia watumiaji wa barabara? Naomba mchango wenu ili tuweze kunusuru maisha ya watanzania wenzetu kwani hapa jukwaa lenye watu wenye uelewa mbalimbali.
Asanteni.
Ningependa kutoa mawazo yangu hasa kuhusu watumiaji wa barabara hasa kwenye maeneo ya pundamilia ama zebra, kumekuwepo na namna tofauti ama uelewa tofauti kwa baadhi ya matumizi sahihi ya eneo hilo, kuna watu wanalitumia kwa kupita bila kuwa na tahadhari yoyote, mtu anakata barabara kwa mwendo wa taratibu mno au pia kuanza kuonesha namna ya ufundi wa kutembea, na ukizingatia tupo katika wimbi hili kubwa la waendesha pikipiki wasiotambua ama kuzielewa alama za barabarani na inawezekana pia hawapendi kujifunza sheria za uendeshaji salama!
Nimeshuhudia mara kadhaa ajali ambazo zingeweza kuepukika kwa watumiaji wa barabara, je ni elimu ipi ama njia zipi zitumike ili kuweza kuwasaidia watumiaji wa barabara? Naomba mchango wenu ili tuweze kunusuru maisha ya watanzania wenzetu kwani hapa jukwaa lenye watu wenye uelewa mbalimbali.
Asanteni.