texaz mc JF-Expert Member Jan 15, 2016 371 203 Jan 3, 2017 #1 Habari zenu wana jf. Leo nimeona tulizungumzie swala hili la [HASHTAG]#kusahau[/HASHTAG](kupoteza kumbukumbu). kuhusu tiba yake na nn kifanyike kuzuia hali hiyo. Karibuni
Habari zenu wana jf. Leo nimeona tulizungumzie swala hili la [HASHTAG]#kusahau[/HASHTAG](kupoteza kumbukumbu). kuhusu tiba yake na nn kifanyike kuzuia hali hiyo. Karibuni
W wibros Member Dec 24, 2016 18 18 Jan 3, 2017 #3 Kuna mtu ana kibarango kichwani cha muda mrefu ametumia kila dawa imeshindikana msaada tafadhali.