Msaada kwa tatizo hili

texaz mc

JF-Expert Member
Jan 15, 2016
371
203
Habari zenu wana jf.
Leo nimeona tulizungumzie swala hili la [HASHTAG]#kusahau[/HASHTAG](kupoteza kumbukumbu). kuhusu tiba yake na nn kifanyike kuzuia hali hiyo.
Karibuni
 
Kuna mtu ana kibarango kichwani cha muda mrefu ametumia kila dawa imeshindikana msaada tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…