Msaada kwa tatizo hili

texaz mc

JF-Expert Member
Jan 15, 2016
371
203
Habari zenu wana jf.
Leo nimeona tulizungumzie swala hili la [HASHTAG]#kusahau[/HASHTAG](kupoteza kumbukumbu). kuhusu tiba yake na nn kifanyike kuzuia hali hiyo.
Karibuni
 
Kuna mtu ana kibarango kichwani cha muda mrefu ametumia kila dawa imeshindikana msaada tafadhali.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom