sir j
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 316
- 211
Heshima kwenu wana jamvi.
Usiku wa kuamkia leo 'nimeota' njozi ambayo imekifarakanisha kichwa changu mpaka muda huu........
Nimemuona mheshimiwa Lowasa akiwa kwenye halaiki ya watu, ni kama alikuwa kwenye harakati za kampeni (sina uhakika, ingawa kulikuwa na watu wengi mno). Lakini katika hali ya kushangaza, he was poisoned by an unknown person......kuja kustuka, kalegea anataka kuanguka.....watu si ndio kumdaka. Jitihada za kumuwahisha hospitali zikafanyika. Kumfikisha hospital, na vipimo vilipofanyika, vikaonesha tayari keshatutoka......tena kwa sumu kali, iliyomshambulia sana ndani ya muda mfupi tuu......
Nimeamka ndugu zangu hata sijielewi yani....kwamba kwa nini niote ndoto ya namna hii, wakati hata sikulala nawaza wala kufikiri mambo ya wanasiasa...??
Embu mnisaidie kwa wale wajuzi wa kutafasiri na kupambanua ndoto/njozi.
Asanteni sana.....
Usiku wa kuamkia leo 'nimeota' njozi ambayo imekifarakanisha kichwa changu mpaka muda huu........
Nimemuona mheshimiwa Lowasa akiwa kwenye halaiki ya watu, ni kama alikuwa kwenye harakati za kampeni (sina uhakika, ingawa kulikuwa na watu wengi mno). Lakini katika hali ya kushangaza, he was poisoned by an unknown person......kuja kustuka, kalegea anataka kuanguka.....watu si ndio kumdaka. Jitihada za kumuwahisha hospitali zikafanyika. Kumfikisha hospital, na vipimo vilipofanyika, vikaonesha tayari keshatutoka......tena kwa sumu kali, iliyomshambulia sana ndani ya muda mfupi tuu......
Nimeamka ndugu zangu hata sijielewi yani....kwamba kwa nini niote ndoto ya namna hii, wakati hata sikulala nawaza wala kufikiri mambo ya wanasiasa...??
Embu mnisaidie kwa wale wajuzi wa kutafasiri na kupambanua ndoto/njozi.
Asanteni sana.....