Mkuu mtoto wa mwaka mmoja kichocho atoe wapi, tena dar es saalam hii, alipata swimmers itch wapi?...alafu pia schistosomiasis doesnt come with that fever, unless its katayama fever ambayo haiko kwenye bladder ila kwenye liver caused by mansoni au japonicum but not heamatobium!
My take, huyo mtoto ana uti tu!...tena kwa umri huo nawasiwasi bado hajatairiwa which could be the source of infection!
Apelekwe hospital apewe gentamicine 7.5mg/kg once daily for 7 days...hio ndo dawa inauwezo wa kucover wadudu wengi!....dawa aloyopewa mwanza nahisi haikuwa broad ndio maana hakupona vizuri!