Msaada kwa mlionitangulia masomo...

John abruzzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,461
Reaction score
3,482
Shikamooni wakubwa zangu.

Mimi ni kijana wa miaka kumi na tisa msingi kidato cha 6 mwaka huu mchepuo wa pcm.Iwapo kama mtihani wa kidato cha 5 ungekuwa ni necta basi mi ningesha jipatia div 3 huko japo sio malengo yangu na naamini pia sio uwezo wangu. I believe am better.na sijakata tamaa.i believe in the remaining one year I can make changes. lakini mtihani wa mwezi wa Desemba mwaka jana sikupata matokeo mazuri pia na nikajitahidi kufanya vizuri mwaka huu.

I considered reasons behind my failures but the same happened this year that is lack of cooperation with my class mates together with others.In spite of knowing reasons for my failures I come to ask for your advice so I can know more concerning my problem from you.

I bought many books but they keep on helping my fellows who borrow to me.i need an advice from you from any who passed through the same situation am passing through cause kwenye mazingira nayoishi hakuna wasomi ambao ningeweza kuwaeleza tatizo langu.

I put forward my thanks to all that will advise me here and God will bless you
 
kwanza kwa elimu yako umesema una kuku wa kienyeji wangapi!?😴😡
 
Unasoma shule ya Private au Serikal??.

Kama ni Serikali, iyo 3 ukikomaa unaweza ifanya kua 2, ukikomaa 1 ( Siasa mwaka wa uchaguzi) kuna uwezekano kwa mwaka huu na mwakan , serikali zikaongoza saaaaana, watu wakafaulu saaana hasa hasa aa serikali.

Kama ni Private iyo 3 usipokomaa inakua 4 ..na ukikomaa saaaaaaaaaaana ndo inaweza kua 2.(itategemea na aina ya shule).

Alafu usiwe mmiliki wa vitabu, bali tumia vitabu .

discussion kwa saana, ukiwa na mavitabu alafu unasoma kivyako vyako, itakula kwako.

Mwisho, Kua mjanja, A level watu wanasoma kwa tageti.


Uliingia A level kwa ufauli upi hasa kwa mchepuo wako?? PCM???.
 
Komaa tu mdogo wangu utachomoka hayo ndio matokeo ya kawaida mwanzoni ukiingia A level.

Ukishachagua mchepuo wa sayansi kukomaa kunakuhusu, weka malengo kila siku ama wiki kwamba unataka ku-cover topics ngapi na hakikisha unazimaliza na umezielewa vizuri ukifuata syllabus usisome tu kama kipofu.

Ukifanya hivyo we mwnyw utaona mambo yananyooka balaa mpaka waeza hisi mitihani inatungwa na shemeji.
 
Dogo komaa saaaanaaaaa.

pcm sio ya kitoto kiivyo bhana.

Jitahidi tu mdogo wangu.

Ukisema unaweza upo sahihi.
Na ukisema hauwezi upo sahihi pia.

So angalia kipi unasemaa
 
 
Usikasirishwe na majibu ya mtandaoni, kuna watu wenye hulka anuwai. Jambo la msingi katika kujifunza ni kujitambua, ukisha jitambua utambue pia kwa nini unasoma. Swali la msingi ni why am I studying? Maana yake ni, what is the end of my education? Masomo siku zote ni rahisi kama ukisikia naa kusikikiza. Ni magumu pia endapo unatumia nguvu kusoma badala ya uwezo uliopewa na Mungu. Soma kwa kuelewa, usisome kwa kukariri ili ushinde mitihani. Ukielewa unachofundishwa it follows, utafaulu vizuri.

Wakati mimi ninasoma, kutokana na hali ya umasikini wa nyumbani kwetu, nilijiwekea ahadi ya kutokufeli, sikuwahi kuona somo gumu.

Pili ukijitambua, utaweza pia kutambua uwezo wa wenzako, utumie.
 
Sawasawa nimekupata pcm sio mchezo kweli aisee
Dogo komaa saaaanaaaaa.
pcm sio ya kitoto kiivyo bhana.
Jitahidi tu mdogo wangu.
Ukisema unaweza upo sahihi.
Na ukisema hauwezi upo sahihi pia.
So angalia kipi unasemaa
 
First of all,achana kabisa na social media. Mpaka utakapomaliza shule. Then komaa na kusoma.
 
Usikasirishwe na majibu ya mtandaoni, kuna watu wenye hulka anuwai. Jambo la msingi katika kujifunza ni kujitambua, ukisha jitambua utambue pia kwa nini unasoma. Swali la msingi ni why am I studying? Maana yake ni, what is the end of my education? Masomo siku zote ni rahisi kama ukisikia naa kusikikiza. Ni magumu pia endapo unatumia nguvu kusoma badala ya uwezo uliopewa na Mungu. Soma kwa kuelewa, usisome kwa kukariri ili ushinde mitihani. Ukielewa unachofundishwa it follows, utafaulu vizuri.
Wakati mimi ninasoma, kutokana na hali ya umasikini wa nyumbani kwetu, nilijiwekea ahadi ya kutokufeli, sikuwahi kuona somo gumu.
Pili ukijitambua, utaweza pia kutambua uwezo wa wenzako, utumie.
[/QUOTE]asante sana yaani unanijibu kama ndugu yangu aisee .thank you a lot and God will bless you hakika
 
Nilichoona ni hicho kingereza tu unatarajia kushauriwa na wasomi na wasio wasomi mimi ningekushauri ila sijui ngeli ukisharudi kitaa unistue kwa kiswahili
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…