poleni na mahangaiko.,swali langu ni kwamba, mtu kama ana breed wakati hayupo kwenye hezi na anatumia vidonge vya majira tatizo huwa ni nini? na je kwanini kama akienda kukojoa anapatwa na maumivu makali?
Akapime magonjwa ya zinaa...Chlamydia,gonorrhea na syphilis!!Ugonjwa kama chlamydia hauna dalili nyingi kama magonjwa mengine ya zinaaa..ila unajisikia kama kuwaka moto ukikojoa..Wahi hospitali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.