Msaada kwa hili..

Msaada kwa hili..

ema mponzi

Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
5
Reaction score
1
Kwa waliomba chuo cha ifm diploma au certificate kuna ambaye ameshapata joining instruction mana mimi nimeenda sana pale wananiambia bado na tayari kwenye account yangu walithibitisha nimechaguliwa msaada hapo mana wanasema week hii ni ya registration ila sielewi kabsaa jamani msada hapo kwa ambao wanaweza kunipa ushauri
 
Back
Top Bottom