Msaada kwa anayejua wimbo huu

Msaada kwa anayejua wimbo huu

jabarijoka

Member
Joined
Jul 5, 2020
Posts
23
Reaction score
20
Kuna wimbo ulioimbwa na msanii kutoka Kenya unaongelea mafisadi. Kiitikio chake ni "Sitasimama maovu yakitawala"
Nisaidieni jina la nyimbo iyo na jina la msanii

Nautafuta sana
 
Mleta uzi hebu ongeza maneno. Au nchi ya kitu kidogo, imeumbwa na watu wadogo, ukitaka chai ewe mama nenda Limuru...
 
nyashiski ila kuna ya eric wainaina nchi ya kitu kidogo nayo inahusu ufisadi
 
kuna wimbo ulioimbwa na msanii kutoka Kenya unaongelea mafisadi
Kiitikio chake ni
"Sitasimama maovu yakitawala"
Nisaidieni jina la nyimbo iyo na jina la msanii
Nautafuta sana
 
Back
Top Bottom