Msaada:kwa anaeifahamu vizuri brac

Msaada:kwa anaeifahamu vizuri brac

okyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
2,003
Reaction score
1,508
Wanajamvi naombeni msaada kwa anayewafahamu vizuri hawa jamaa mazingira ya kazi kwa ujumla na mishahara yao kwa credit officer.
Nawasilisa
 
Umeshapata kazi au ndo umeitwa kwenye interview ? Kama wamekuita kwenye interview nakushauri uende kwanza ukafanye na ukishapata ndo urudi kuja kuulizia mishahara yao.
 
Mazingira yao ya kaz ni ya kawaida..brac hawana credit officer bali wanaita community organizer(CO). Mishahara yao inategemea na elimu yako...mf.kuna aliemaliza form 4,6,certificate,diploma,degree kila mtu ana salary yake japo majukumu ya kazi ndo hayo hayo! Wale ni wabangladesh ni wabahili kiasi! Mshahara unaanzia laki mbili mpaka laki 3 na nusu! Hawaongezi zaid ya hapo
 
Umeshapata kazi au ndo umeitwa kwenye interview ? Kama wamekuita kwenye interview nakushauri uende kwanza ukafanye na ukishapata ndo urudi kuja kuulizia mishahara yao.

Hahaha mkuu we nijibu nataka jua maana ninataka enda fanya intervw ila nina ajra tayr sasa nisije poteza mda wangu kwa mshahara mdogo kuliko ambao nalipwa sasa hivi
 
Mazingira yao ya kaz ni ya kawaida..brac hawana credit officer bali wanaita community organizer(CO). Mishahara yao inategemea na elimu yako...mf.kuna aliemaliza form 4,6,certificate,diploma,degree kila mtu ana salary yake japo majukumu ya kazi ndo hayo hayo! Wale ni wabangladesh ni wabahili kiasi! Mshahara unaanzia laki mbili mpaka laki 3 na nusu! Hawaongezi zaid ya hapo

Nashukuru sana kwa taarifa
 
Graduate laki 3. na makato mengine inakuwa kama 280000,..allowance nyingine ni 50 kwa ajili ya mizunguko coz credit officer hapana kukaa ofisini ww ni field work.. I can say its hard
 
Laki 3 graduate? Huu ni unyonyaji. Nadhani kuna haja ya kuwepo na kima cha chini cha mshahara kwa kila level ya elimu
 
Yap..wadau wamesema ukweli..on top of tht brac wanadharau sana waajiriwa weusi...ilhali wengi wa hao wabangladeshi hawana hata degree....hamna la maana sana kama tayari una kazi ingine,kama huna kazi nenda kakomae kiubishi!
 
Back
Top Bottom