poa mkuu hawa jamaa hawana milolongo sana nitkupa namba zao una nunua simu yao ina os ya android ambayo inakuwezesha kutumia software yao ya button pay kwa urahisi simu hiyo ana kuunganishwa itaku cost laki 3 na nusu. zenu unaweka mtaji unaotaka mwenyewe unaanza mzigo.