Msaada: Kuunlock modem

uwe na net ya uhakika kisha download EC122
FIRMWERE UPDATE KAMA HII CHINI NA UFUATE HATUA ZIZI




IKIMALIZA ITAKUA TAYARI
 
Kama ni ya mtandao wa simu wanazotoa sasa hivi usijaribu utaiua modem yako ila kama ni zile modem za zamani za voda zilikuja kwenye pakti kama la cd na zile za zain utafanikiwa usijalibu kwa zantel wao ndoo kabisaaa haiwezekani hata line ya simu hawaweki kuna jamaa nilishuhudia wamefanya modem kuwa card reader tu
 
ikitaka password kwaza kama huna code calculator download hapa
Huawei Unlock Code Calculator

ukisha weka imei hapo sehemu ya imei click calculate weka unlock code ikikataa weka flash code kama password hapa 😳 chini

kisha next
 
naombeni mnisaidie jinsi ya unlock moderm ya Huawei EC122

Kama ni ile ya Zantel ya CDMA acha kupoteza mda wako haina maana yoyote hiyo technolojia inaenda inakufa hapa Bongo na ukizingatia speed haizidi 3.2Mbps mbaya zaidi hamna Line utakayoweza kuweka mfano hautoweza weka line ya mitandao mikuu ya hapa kwetu halotel,Vodacom,Airtel na Tigo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…