Uwezekano wa kupatikana kwa sim hako upo swali je imei ya sim unaijuaWadau habari za sikukuu, niende moja kwa moja kwenye mada. Naandika kwa niaba ya ndugu aliibiwa iPhone β juzi na boda boda akiwa kwenye foleni maeneo ya Tabata hivyo tunaomba msaada kama kuna mtu anaweza tusaidia namna ya kutrack mpaka kuipata hata kwa malipo tafadhali.
Ok niinbox au nichek kwa namba 0653868632Imei ninayo mkuu
Mbona unabatisha mzee mtu ataweza vip kuweka line kwenye sim ambayo ameiibaHuitaji kumfuata mtu inbox wala nini fanya hivi...
Kama alikuwa ka enable find my iphone
Tafta simu ya iphone au ipad fungua app ya find my iphone
Kwenye username aweke email aliyoiset kama icloud ya hiyo iphone x
Passowrd pia ajaze password ya hiyo icloud
Ita search na kuwaonyesha simu ilipo endapo itakuwa imewashwa na ina line.
Kuna option ya kuilock kama atakuwa hakuiwekea lock unaweza ilocate na kuweka any messee kwenye lock screen pia kuna option ya kufuta kila kilichomo kwenye hiyo simu, hii usiitumie kwa maana ukifuta hutaweza kuifuatilia tena.
Kuna pia option ya kufanya iite mfano kama unaitafta umei mispalace ndani.
Kama hauna iphone au ipad au comp ya mac basi waweza fungua icloud.com uka sign in pia utaweza illocate.
Kumbuka usipoiona ujue sim imezimwa au hajaweka line so haisomi inernet.
So simple
Kwahiyo simu ikiibiwa uwa haiwekewi line?Mbona unabatisha mzee mtu ataweza vip kuweka line kwenye sim ambayo ameiiba
Kwa vyovyote vile hiyo lazma iwe haina internet
Amekuharibia maana ulitaka kkenzki aje inbox lakini mtafuta-maisha akatoa option ya kufanyaMbona unabatisha mzee mtu ataweza vip kuweka line kwenye sim ambayo ameiiba
Kwa vyovyote vile hiyo lazma iwe haina internet
unaweza kuta hata I cloud hakua na account na find my iphone iko off hapo ahesabu maumivu tuKwa mara nyingi watumiaji wa iphone huwa ni wale wale walioanzia kwenye 4 au hata 5, ikiwezekana hata 6. Sasa inakuaje mtu anatumia iphone x halaf hajui hata kuaccess "find my iphone" anyway fuata maelekezo ya mtafuta maish hapo juu utafanikiwa.
Jinsi nilivyoona tu atakuwa amenunua hiyo simu kama fashion, kiukweli iPhone inatakiwa angalau uweze kuwa mwenyeji wa simu smartphone na mambo ya electronic ndo ina raha kwa upande wa security vinginevyo uitumie kawaida tu ikiibiwa basi unakubali matokeo. Maana mwizi akiiba anatakiwa apate lesson kwamba hizi simu sio za mchezo mchezo lakini kama akiiba alafu ikatumika tena hapo ni kashesheunaweza kuta hata I cloud hakua na account na find my iphone iko off hapo ahesabu maumivu tu