kibwagizo tatizo lenu nyie mpaka mpate matatizo ndo mnakuja, kama hujaandaa msingi vizuri unafkiri tatizo likitokea utaweza kulikabili?
kama ungekua umefanya backup ya contact sasa hv ungekua unazirudisha tu.
kama ni android jaribu kubahatisha labda kuna siku ulizisync na email yako ya google. ila kama ni hizi simu ndogo sahau