Msaada: Kurudi kazini

ntahagaye

Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
92
Reaction score
19
Wadau mimi nilikuwa mwalimu wa sekondari niliacha kazi kama miaka minne iliyopita, niliondoka bila kuaga wala kuandika barua ya kuacha kazi.

Saa hizi nahitaji tena karudi kufanya kazi Serikalini je ntapokelewa, na maombi natuma kwa nani, Tamisemi au kwa Katibu Mkuu?
 
kwani ulipatwa na nini mwalimu ukaamua kufanya maamuzi hayo au ilipiga mkwanja wa voda millionaire?
 
Sema Ulienda Wapi Nikupe Mawazo Ndugu Au Ni Pm Nikuelekeze
 

hilo.linawezekana kurudi.
naomba uniambie toka ulivoondoka je mshahara uliendlea kupata.. kama ulistishwa..walistisha lini..
Na jw ulishawahi.kukopa
?
 
Acha uoga wa maisha ndg yangu. Chagua moja kutumikishwa ukiwa kama mwalimu au kutumikishwa katika sekta binafsi kwa kada nyingine nje ya ualimu.

Mimi nikushauri kitu kimoja mhimu ktk maisha yako, kwakuwa hukuridhishwa na ajira ya ualimu na kuamua kuondoka, basi pigana kiume kivyakovyako bila kumtumikia mtu hapo utaishi maisha ya amani na kadri utakavyokuwa unaongeza juhudi na ubunifu katika maisha/kazi ni kwa manufaa yako mwenyewe!

Hujachelewa, amua sasa kataa kutumikishwa ili uishi kwa amani!
 
hilo.linawezekana kurudi.
naomba uniambie toka ulivoondoka je mshahara uliendlea kupata.. kama ulistishwa..walistisha lini..
Na jw ulishawahi.kukopa
?

nilikopa benki kama mbili, mshahara umesitishwa mwezi wa pili
 
Ulijaribu Kurudi Kituo Chako Cha Kazi??
 
nilikopa benki kama mbili, mshahara umesitishwa mwezi wa pili

Mwezi wa pili mwaka huu.?kama ndio..rudi.kazini onana na mkuu wa shule kwanza.
baada ya hapo waweza onana na afisa elimu pamoja na mkurugenzi husika.

Ni vemaa ukandaa sababu za msingi.za kutoonekana niaka minne.
 
Mwezi wa pili mwaka huu.?kama ndio..rudi.kazini onana na mkuu wa shule kwanza.
baada ya hapo waweza onana na afisa elimu pamoja na mkurugenzi husika.

Ni vemaa ukandaa sababu za msingi.za kutoonekana niaka minne.

Unaweza kunisaidia sababu hizo ili niweze kuandaa hiyo barua nimeshindwa kisaikolojia cko vema
 
Sababu Unazo Wewe Na Ziwe Za Msingi Ila Uombe Msamaha
 



Jamaa angu, ngoja nikushauri kitu,, kachunguze kwanza halmashuri kama wamezuia tu mshahara au wamekuondoa kabisa kwenye payroll,, maana kuna vitu viwili vinaweza vikawa vimefanyika,, kwanza kuzuia mshahara usiingie direct kwenye account,, hii inafanywa na maafisa utumishi kupitia lawson,, pili kuondolewa kwenye payroll,, bora ukute wamezuia mshahara tu ni rahisi kufunguliwa kuliko ukikuta wamekuondoa kwenye payroll maana yake umefutwa kazi na hauwezi kuajiriwa tena serikalini maana taarifa zako zinakuwa kwenye mfumo
 
Sio Kweli Kua Hataajiriwa Serikalini.Tatizo Lake Ni Kua Kasomea Fani Nyingine.Kwa Ushauri Zaidi Nenda Kwanza Kazini Kwako Wewe
 
Kijana fanyia kazi ushauri unaopewa.. kwanza.

Kisha utatupatia mrejesho.
Kila la kheri..ukifanikiwa ustusahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…