Msaada kuroot Huawei Y300

Msaada kuroot Huawei Y300

Madagiz

Senior Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
185
Reaction score
56
Wakuu nimejitahidi ku root cm yangu Huawei Y 300 ila inafeli,kuna faili nilidownload last time nikawa nimelisave kwenye memory card,nililitumia kuroot cm niliyokuwa natumia last time ya Samdung galaxy min ikakubali ila kwa sasa nikilitumia kuroot hii cm inafail.Nimejaribu pia kufanya rooting kwa kutumia software kama Frame root versions tofauti tofauti ila imegoma.Msaada tafadhali niweze kuroot cm yangu.Natanguliza shukrani.
 
Wakuu nimejitahidi ku root cm yangu Huawei Y 300 ila inafeli,kuna faili nilidownload last time nikawa nimelisave kwenye memory card,nililitumia kuroot cm niliyokuwa natumia last time ya Samdung galaxy min ikakubali ila kwa sasa nikilitumia kuroot hii cm inafail.Nimejaribu pia kufanya rooting kwa kutumia software kama Frame root versions tofauti tofauti ila imegoma.Msaada tafadhali niweze kuroot cm yangu.Natanguliza shukrani.
Tumia master root. Nenda Google andika how to use master root utapata video zinazoeleza jinsi ya kutumia. Mimi nimetumia hiyo na nimefanikiwa.
 
Ingia Google dwnld progrm inaitw kingo root,bc hapo kwisha kaz unaweza root android 4n yyte
 
Shukrani kwenu wote wakuu,nilishafanikiwa,ingawa nilitumia njia ndefu kidogo,nilipata softiwares & drivers nikainstal kwenye Pc,ila mwisho wa cku nilifanikiwa,sa hvi na enjoy sana
 
Ni kuifanya simu yako kuwa na uwezo zaidi.Mfano;kuweza ku uniinstall program zinazokuja na simu,ambazo kwa hali ya kawaida huwezi juzitoa
 
Back
Top Bottom