kelvin Brown
Member
- Aug 10, 2012
- 8
- 1
Wakuu habari za leo? Wakuu leo nilikuwa nafatilia malimbikizo ya pesa zangu za PPF kwenye ofisini za PSSSF hapa mbeya. Nikaambiwa kwa kuwa mimi bado ni mfanyakazi mfuko wa PPF na mfuko wa NSSF watafanya utaratibu wa kuhamisha pesa wao kwa wao.
Sasa nimekuwa nikiambiwa hvyo kila mwaka nikifuatilia hizi hela. Nilikuwa naomba kujua au kupata utaratibu kwa mtu yeyote aliyewahi kufanikiwa katika hili.
Sasa nimekuwa nikiambiwa hvyo kila mwaka nikifuatilia hizi hela. Nilikuwa naomba kujua au kupata utaratibu kwa mtu yeyote aliyewahi kufanikiwa katika hili.