Ok thanks
Na type ya zile walizotumia NHC kwa mradi wao wa kibada Kigamboni waweza faham ni aina gani za mashine?
mrejesho,ulifanikiwa?Habari wadauu
Tafadhalini natafuta machine ya kufyatua tofali za kuchoma kwa yoyote anayefaham naweza kupata wapi ama shirika, ngo na kwa bei gani?
Tofali za kuchoma na sio Hydro foam
Natanguliza shukrani.