Msaada kunipa maana ya hii ndoto

Msaada kunipa maana ya hii ndoto

steve_shemej

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,191
Reaction score
1,629
Kuna ndoto niliiota sijajuwa maana yake

Kunasiku niliiota nimepanda Basi nimeenda mbali na nyumbani huko nilikoenda ni wapi sijui

Nilipofika huko nikaanza maaisha lakini Cha ajabu nikipita mitaani huko nilikoenda kilamtu ananiheshimu wakubwa kwa watoto Kama Kuna shuguli wanafanya wanaacha wananiangalia Mimi huku wakiwa wanafurahi na Kama wana niheshimu vile

Nikajalibu kuwauliza Mimi ni Nani mbona wananiheshimu saana hao watu hawakunijibu wakawa tu wananiangalia huku wakifurahi


Hii ndoto inatoa taswira gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiache kufanya kazi kwa bidii na kujiwekea akiba, Utabadilika kimaisha, maisha yatapanda (utapata nauli na utapanda basi kwenda mbali). Heshima itaongezeka na utaheshimika zaidi ya sasa, inaonekana kwa sasa huheshimiki. Usikate tamaa
 
wachawi wale wakuruka usiku sijui mnawaitaje kwa lugha ya kwenu wamekuchukua wanakutaka kwanye chama chao na hawa watu wakubwa na watoto ni wachawi siunajua wanavikundi vikundi mkuuu mimi nilikuwa mtwara masasi ilishwai kunitokea kama hivyo lakini kwa muonekano mwingine nikawatafuta wajuzi wa mambo ya kiza niwakawaelezea wakanisaidia nilikuwa silali mkuu mawenge mengi hatari ukiingia usiku nilikuwa naufikiria ila sasa na lala kwa aman baada ya mimi kujiongeza na harakati zangu nafanya vizuri akuna shida .ila sikulazimishi uwamini ila ujuwe wazee wakuruka wanakutaka kwenye chama chao amini hivyo
 
Usiache kufanya kazi kwa bidii na kujiwekea akiba, Utabadilika kimaisha, maisha yatapanda (utapata nauli na utapanda basi kwenda mbali). Heshima itaongezeka na utaheshimika zaidi ya sasa, inaonekana kwa sasa huheshimiki. Usikate tamaa
Nashkur ndugu kwa maelezo machache mazur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom