Salam wakuu!
Nimekuwa shortlisted kwenye NGO flan hivi hapa Dar, wamenitumia staff entry assessment form ili kuijaza. Ila kikubwa kinachoniumiza kichwa Ni hii inshu ya kuattach certified Intelligence Aptitude Test (IAT). Je kuna ulazima wa kuwa na hio certified IAT? Maana nimefatilia jinsi ya kupata certificate yake ni $72 (Tshs184,226). Hakuna utapeli wowote hapa?
Ulikuwa shortlisted na Matapeli, sio NGO... Bt jamani unapaswa kujua kuwa hakunaga shortlisted person anayetakiwa kutoa pesa yeyote ile kwa ajili ya kitu chochote kwa ajili ya interview... Sijui verification, mara nni... Hakunaga hicho kitu!
Ulikuwa shortlisted na Matapeli, sio NGO... Bt jamani unapaswa kujua kuwa hakunaga shortlisted person anayetakiwa kutoa pesa yeyote ile kwa ajili ya kitu chochote kwa ajili ya interview... Sijui verification, mara nni... Hakunaga hicho kitu!