Nimetakiwa kulipa dollar 56 baada ya kuwa shortlisted, nani anafahamu huu utaratibu?

unique dada

JF-Expert Member
Feb 26, 2014
770
602
Habari wana Jf kwa mwenye kulifahamu hilo kampuni naomba msaada tafadhali kujua kama ni matapeli ama la kuna kazi walitangaza mwezi wa tisa Admin Officer Tanzania wamenitumia email kuwa nimekuwa shortlisted maajabu yanakuja natakiwa kulipia dollar 56 ili kupata certificate ya PSYCHOMETRIC ASSESSMENT TEST(PAR) ambayo nitaambatisha na new staff entry assessment form.

Nawatikia siku njema
 
Habari wana Jf kwa mwenye kulifahamu hilo kampuni naomba msaada tafadhali kujua kama ni matapeli ama la kuna kazi walitangaza mwezi wa tisa Admin Officer Tanzania wamenitumia email kuwa nimekuwa shortlisted maajabu yanakuja natakiwa kulipia dollar 56 ili kupata certificate ya PSYCHOMETRIC ASSESSMENT TEST(PAR) ambayo nitaambatisha na new staff entry assessment form.

Nawatikia siku njema
Run for your safety.
Matapeli at work.
 
ah ah ukiitwa kwenye fursa ujue weye ndo fursa taasisi gani inatoa ajira halafu ndo inakomaa kuwalazimisha wadau kutoa ela
 
Habari wana Jf kwa mwenye kulifahamu hilo kampuni naomba msaada tafadhali kujua kama ni matapeli ama la kuna kazi walitangaza mwezi wa tisa Admin Officer Tanzania wamenitumia email kuwa nimekuwa shortlisted maajabu yanakuja natakiwa kulipia dollar 56 ili kupata certificate ya PSYCHOMETRIC ASSESSMENT TEST(PAR) ambayo nitaambatisha na new staff entry assessment form.

Nawatikia siku njema
unataka kazi au hutaki.?

anyway...kama vile wanauza hiyo kazi,so unanunua kazi ili ufanye kazi

zaidi uko shortlisted ili wakupige vizuri;

waombe wakupe kazi na watakukata kwenye mshahara kama ilivyo mikopo ya elimu.!
 
Hyo ata mm nishakutana nayo walikua wakenya kimbia fasta
 
Habari wana Jf kwa mwenye kulifahamu hilo kampuni naomba msaada tafadhali kujua kama ni matapeli ama la kuna kazi walitangaza mwezi wa tisa Admin Officer Tanzania wamenitumia email kuwa nimekuwa shortlisted maajabu yanakuja natakiwa kulipia dollar 56 ili kupata certificate ya PSYCHOMETRIC ASSESSMENT TEST(PAR) ambayo nitaambatisha na new staff entry assessment form.

Nawatikia siku njema
Wekaaa Mbali sana hiyo kaka achana na hao matapeli hao
 
Back
Top Bottom