Naombeni mnisaidie, ishu yenyewe ni kwamba e-mail yangu sijaingia muda mrefu na nilibadili namba ya simu niliyofungulia kwa hiyo niki-log in inasema nimekosea password.
Kwa nini usi log in kwa namba uliofungulia? Kubadili namba sio sababu kwani hiyo ya zamani unaitumia tu kulog in hata kama matumizi mengine ulishaipumzisha . Anyway isiwe tabu, click link ya "forgot password" utapitia procedures za kureset password.