Msaada kuirekebisha e-mail yangu

Hebie

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2012
Posts
1,415
Reaction score
878
Habari wakuu na hongera kuvuka mwaka.

Naombeni mnisaidie, ishu yenyewe ni kwamba e-mail yangu sijaingia muda mrefu na nilibadili namba ya simu niliyofungulia kwa hiyo niki-log in inasema nimekosea password.
 
Kwa nini usi log in kwa namba uliofungulia? Kubadili namba sio sababu kwani hiyo ya zamani unaitumia tu kulog in hata kama matumizi mengine ulishaipumzisha . Anyway isiwe tabu, click link ya "forgot password" utapitia procedures za kureset password.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…