Msaada kuingiza internet kwenye simu.

Joined
Oct 2, 2011
Posts
61
Reaction score
12
Wadau nina simu aina ya itel ina android nataka kutumia intrrnet kupitia line ya tigo naomba mnisaidie kujaza maelezo yafuatayo: Name. APN. Proxy. Port. Username. Password. Server. Mmsc. MNC. Authentification type.APN type.APN protocal. Nitashukuru kwa msaada wenu
 
Hapo kwenye network
Setting click more setting halafu add nrw APN ikija sehemu ya kujaza sehemu muhimu ni APN tu weka neno internet au tigoweb then save unakuwa umemaliza.sehemu nyingine ziache
 
nenda settings halafu wireless and networks halafu mobile networks setting
name andika tigo
apn andika internet kisha save thats it subiri kidogo and there you go
 
hapo kwenye network
setting click more setting halafu add nrw apn ikija sehemu ya kujaza sehemu muhimu ni apn tu weka neno internet au tigoweb then save unakuwa umemaliza.sehemu nyingine ziache

duuh! Jamiiforums kiboko.
 
nenda settings halafu wireless and networks halafu mobile networks setting
name andika tigo
apn andika internet kisha save thats it subiri kidogo and there you go

vp kuhusu vodacom nayo unafanya hivyo hivyo?? msaada plz wadau
 
vp kuhusu vodacom nayo unafanya hivyo hivyo?? msaada plz wadau

Vodacom: name: vodacom, apn: internet, apn type: default. Futa chochote kwenye proxy, port, username, password, server, mmsc, mms proxy, mms port. Save
 

ingia google.andika phone internet setting .watakupa ya google kwa line zote utajaza hizo space zako vizuri
 
JF ni darasa tosha! Wengi tumenufaika and thnx to ol contributors na mtoa tatizo!
 
samahani nami nina simu aina ya TECHNO HD51 nataka kuweka internet kwa simu yangu nifuate njia zipi kama huyo uliyemwelekeza hapo juu?
nisaidie kwa hili
Hapo kwenye network
Setting click more setting halafu add nrw APN ikija sehemu ya kujaza sehemu muhimu ni APN tu weka neno internet au tigoweb then save unakuwa umemaliza.sehemu nyingine ziache
 
Hapo kwenye network
Setting click more setting halafu add nrw APN ikija sehemu ya kujaza sehemu muhimu ni APN tu weka neno internet au tigoweb then save unakuwa umemaliza.sehemu nyingine ziache

mkuu ni muhimu pia Proxy achague NO kwa vile APN ameiset apate internet moja kwa moja. Pia ma ports na dsn etc yawe zeros
 
 
Last edited by a moderator:
Network setting unaipata wapi?.
Au simu zingine zinatumia jina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…