Msaada kuhusu ufaulu kwa walioomba degree

Msaada kuhusu ufaulu kwa walioomba degree

de josee

Member
Joined
Aug 19, 2016
Posts
15
Reaction score
4
wakuu naomba ufafanuzi juu ya ufaulu unaotakiwa mwaka huu kwa walioomba degree ya sheria UDSM na mzumbe ya Moro na mbeya ...maana kila mtu anasema yake uku eti lazima wenye division one mwisho ya point 7 ili kupata chuo na hiyo facult.. ni kweli?
 
guide book nmeisoma vzr mpaka leo bado ninayo mkuu labda nilidhan kuna mabadlko
Guide book ndiyo mwongozo wako.

Vigezo vyote vya kila kada vimeainishwa.

Kwaiyo vigezo ulivyosoma kwa kada yoyote ndiyo vigezo vinavyotumika kwa mwaka huo wa masomo.
 
Guide book nmeisoma vzr mpaka leo bado ninayo mkuu labda nilidhan kuna mabadlko

Kwahiyo Hujiamini Kwa Kile Ulichokisoma Kwenye GuideBook au? Au Unaona Maneno Ya Vijiweni Ni Bora Kuliko Maandiko?
 
Kwahiyo Hujiamini Kwa Kile Ulichokisoma Kwenye GuideBook au? Au Unaona Maneno Ya Vijiweni Ni Bora Kuliko Maandiko?
hamna mkuu tatzo elimu ya bongo imebadilika kila mtu anakiamka anakuja na sheria yake
 
hamna mkuu tatzo elimu ya bongo imebadilika kila mtu anakiamka anakuja na sheria yake

Hata Hivyo Vijiweni na Mitandaoni Utayasikia Mengi!! Lakini Jihakikishie Kuwa Unaamini Kile Tu Kilichotangazwa Ndani Ya Mtandao Wa HESLB, TCU au Official Announcement Kutoka Kwenye Media.
 
Hata Hivyo Vijiweni na Mitandaoni Utayasikia Mengi!! Lakini Jihakikishie Kuwa Unaamini Kile Tu Kilichotangazwa Ndani Ya Mtandao Wa HESLB, TCU au Official Announcement Kutoka Kwenye Media.
sawa mkuu
 
Back
Top Bottom