Msaada kuhusu tv flat ya samsung led inch 32 series 4 2014

Msaada kuhusu tv flat ya samsung led inch 32 series 4 2014

kimeza

Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
47
Reaction score
5
Samahani wadau mimi nina samsung tv flat inch 32 series 4 2014, tatizo langu ni kwamba Je! nikitaka kutazama chanel zile za kulipia nitalazimika kununua king'amuzi? au ninaweza kulipia kutumia namba fulani iliopo kwenye hiyo TV?
Pili, nina tatizo la ku seti rangi ilinione vizuri maana nona kama picha hazing'ai vizuri tafadhali anayefahamu rangi nzuri naomaba anijuze kama contrast iwe ngapi?, Tnt ngapi? backlight iwe ngapi? picture iweje? ili niweze kuona picha vizuri kama jinsi ilivyo kwenye mfumo wa HD maana naamini TV hizi zipo katika mfumo wa HD.
Naomba kuwasilisha.
 
kimeza mi pia nna tv kama hiyo kinachonishinda ni jinsi ya kuzipata ata izo channel za kawaida cjpata ata moja kwanza wakati naingia menu inaniambia nichague country nkchek tz amna ipo south africa chin inafata auto store ukisearch ina search weeeeeh mpk bas ss ww naomba nisaidie angalau nipate ata izo za kawaida...model ni UA32EH4003R..
 
Last edited by a moderator:
Hata mm ninayo iyo ila cjui kuitumia nimeunganisha na kisimbuzi cha azam tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom