MSAADA KUHUSU TRANSFER YA CHUO

Abuu Hafswa

Member
Joined
Sep 29, 2016
Posts
82
Reaction score
19
Wadau nisaidieni katika ili
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]



Nakuchua Diploma ya C.O ktk private college , kutoka na gharama mi kubwa sana nahisi kuinzia njiani.

Nilikuwa naomba kufahamisha kufanya transfer kwenye government ama chuo chenye Ada nafuu.
 
Kuhama private kwenfa government sio rahisi !!
 
Nenda NACTE watakusaidia vizuri swala lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…