Msaada kuhusu tecno p5

Msaada kuhusu tecno p5

audaxtoxic

Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
50
Reaction score
7
Ndg wanajf simu yng aina ya Tecno P5 ninapopiga simu, call haiend na ninapotuma sms pia haziend.
Pia nisipogusa(touch) kioo kama nilikuwa naitumia inapoteza mwanga(inasleep) lkn inaendelea kufanya kaz kama n sms zinaingia au col, lkn cwez kuzsoma maana ninapotouch haikubali mpaka nitoe betri niwashe tena.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa wa tatzo na suluhu yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom