audaxtoxic
Member
- Jun 18, 2013
- 50
- 7
Ndg wanajf simu yng aina ya Tecno P5 ninapopiga simu, call haiend na ninapotuma sms pia haziend.
Pia nisipogusa(touch) kioo kama nilikuwa naitumia inapoteza mwanga(inasleep) lkn inaendelea kufanya kaz kama n sms zinaingia au col, lkn cwez kuzsoma maana ninapotouch haikubali mpaka nitoe betri niwashe tena.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa wa tatzo na suluhu yake.
Pia nisipogusa(touch) kioo kama nilikuwa naitumia inapoteza mwanga(inasleep) lkn inaendelea kufanya kaz kama n sms zinaingia au col, lkn cwez kuzsoma maana ninapotouch haikubali mpaka nitoe betri niwashe tena.
Naomba msaada kwa mwenye uelewa wa tatzo na suluhu yake.