Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 964
- 2,206
Kwa muda mrefu kidogo nimekuwa nikisumbuliwa na meno hasa hasa ninapokula nyama choma. Meno yanauma (magego) kama yale yanayotikisika kama yanataka kutolewa kwa lazima na hali hii hudumu kwa siku mbili hadi tatu na mara nyingine hadi siku ya nne
Maumivi yanaenda yakipungua na nayahisi pale ninapojaribu kutafuna kitu tena hata kama ni kiraini
Tafadhali naomba msaada wenu
Maumivi yanaenda yakipungua na nayahisi pale ninapojaribu kutafuna kitu tena hata kama ni kiraini
Tafadhali naomba msaada wenu