Wadau mimi ni mtumishi wa serikali na nilikata bima ya miaka 9 na NIC.Bima yangu ilishaiva tangu August mwaka jana na sasa ni miezi 10 hawa jamaa hawanilipi hela yangu! Kila nikienda kwenye ofisi zao naambiwa njoo wiki ijayo. Je ni hatua gani naweza kuwachukulia haawa jamaa?
Asanteni
Asanteni