msaada kuhusu ndoto hii

msaada kuhusu ndoto hii

suygal

Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
5
Reaction score
0
habar zenu wapendwa!!mimi naitwa mama L..... kuna ndoto ambayo inanitatanisha hivyo naomben msaada wenu kwa wale wanaojua tafsiri za ndoto.. NDOTO yangu ni kwamba uwa naota maiti zipo ndani kwangu au kma sio ndani basi zipo kwa nje ya nyumba zimening'inizwa knyw mti... na chazo cha ndoto naaza kuota kma nipo sokoni alafu anatokea mzaz mwenzie na mume wngu ananambia anamludisha mtoto sasa nikiludi nyumbani ndonakutana na hzo maiti...
 
Kama bado haujaolewa jiandae kwa ndoa.
 
habar zenu wapendwa!!mimi naitwa mama L..... kuna ndoto ambayo inanitatanisha hivyo naomben msaada wenu kwa wale wanaojua tafsiri za ndoto.. NDOTO yangu ni kwamba uwa naota maiti zipo ndani kwangu au kma sio ndani basi zipo kwa nje ya nyumba zimening'inizwa knyw mti... na chazo cha ndoto naaza kuota kma nipo sokoni alafu anatokea mzaz mwenzie na mume wngu ananambia anamludisha mtoto sasa nikiludi nyumbani ndonakutana na hzo maiti...

'huyo mzazi mwenzake anaishi na mtu au yuko peke yake na jee kuna mawasiliano baina yenu yani wewe na yeye au yeye na mumewe pia mmefunga ndoa au laa na mtoto aliyepo hapo ni yupi na mtoto anayetaka kurudishwa ni yupi na alishaishi hapo wawe ndo ukaingia au ni nyumba ambayo hakuwahi kuishi jaribu kutujibu hayo maswali kwanza tuweze kupata mwanga ili upate kujua nini cha kufanya ndugu'
 
habar zenu wapendwa!!mimi naitwa mama L..... kuna ndoto ambayo inanitatanisha hivyo naomben msaada wenu kwa wale wanaojua tafsiri za ndoto.. NDOTO yangu ni kwamba uwa naota maiti zipo ndani kwangu au kma sio ndani basi zipo kwa nje ya nyumba zimening'inizwa knyw mti... na chazo cha ndoto naaza kuota kma nipo sokoni alafu anatokea mzaz mwenzie na mume wngu ananambia anamludisha mtoto sasa nikiludi nyumbani ndonakutana na hzo maiti...


Haina maana yoyote mbaya kwa sababu umekua ukiota mara kwa mara ndoto ya aina hiyo. Nimesema hivyo kwa sababu hiyo ni njia anayotumia Ibilisi kutuhadaa wanadamu

1.Ameangalia udhaifu wako katika jambo fulani na ndiyo analitumia ili kukusukuma katika kutenda uovu ambao utakua ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu. Mfano, mwingine anaweza kuoteswa msichana mrembo fulani ambaye alisoma naye miaka mingi ya nyuma mara 2 au zaidi kila mwezi wako katika mazingira fulani japo hawakuwahi kuwa na uhusianao wowote zaidi ya kuwa maclassmate tu. Mtu wa aina hii atatekwa na unyonge amkapo na kuwaza sana hata wengine kuanza kuwasahau wake zao au wapenzi wao kwa muda wa masaa kadhaa. Wengine wanaingia katika website nakuanza kuwatafuta katika fesibuku,twita hata hapa JF wanakujaga.

Sasa wewe Ibilisi anataka akusukumie katika mambo ya KISHIRIKINA ambayo ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu. Wewe wajua historia yako mwenyewe na unavyoishi hapo ulipo,tangu umekutana na Mumeo na huyo mzazi mwenza. Sisi hatukujui,kwa hiyo jipime mwenyewe MATENDO YAKO alafu simama kidete kupambana na hili.

Sasa ni wakati wako wa kusimama kiimani kama wewe ni Muislam simama katika Ibada ikewezeka soma vitabu vya dini pia,vivyo hivyo kama ni Mkristo simama katika ibada.Shirikisha hata viongozi wa dini katika maombi yote.

Usisahau kumuomba Mwenyezi Mungu kabla ya kulala hili ni muhimu sana. Kwa sababu ya Ibilisi anakushambulia katika ndoto.

Muombe Mwenyezi Mungu kwa kila Jambo ukila chakula,ukiingia chooni,ukienda kuoga,ukipanda gari,ukienda sokoni n.k kwa sababu ndoto za aina hii haziishi tu papo kwa papo hata kidogo.

Guudi laki
 
Habari zetu ni nzuri dada yetu:

Katika ilimu ya ndoto, ndoto ziko za nama mbili.

1..Ndoto za kishetani..mtu huota kuanzia anapoanza kulala mpaka saa 9...hizi ni ndoto za kichawi au kishetani ambazo kwa mujibu wa hii ndoto yako ina maanisha kua hivi ni vitisho ambavyo majini wanakufanyia au yawezekana wanga usiku wanakuchezea pengine kwa kujistarehesha tu au kwa kutaka kukutoa kikoa(Msukule)....Dawa yake Ni kufanya visomo wakati wa kulala....Waislam wanavijua visomo hivi na wakiristo bila shaka wenyewe wanavyo....ama dawa za kiasili sina uhakika nazo ila ukiweka ndim mbichi kwenye mchago inaweza kusaidia...

2...Ndoto za nama ya pili ni ndoto ambazo Mwenyezi Mungu anapeleka ujumbe kwa viumbe wake kupitia malaika...wakati ukiwa umelala...ndoto hizi huota mtu kuanzia saa 9 mpaka 11:30 na si zaidi ya saa kumi na mbili...ukiota saa kumi na mbili inamaanisha kua Mwenyezi Mungu anawatuma malaika wakuamshe ili uwahi jambo la halali ambalo ulilipanga mwenyewe ulifanye mapema sana.

Kwa ndoto yako hii kama umeota kuanzia tisa na nusu na kuja juu...yaani mpaka alfajiri hii inamaanisha kuna mambo mawili

1.Kuna msiba wa karibu na wewe utatokea au
2. Ni kwamba Ucha Mungu wako umekua mdogo na Mwenyezi Mungu anakuzindua urudi kwenye Ibada kwa sababu ibada ni ktiu kitakachokusaidia baad ya kifo...Mwenyezi Mungu na Mtume wake ndio wenye kujua zaidi...

Maasalaam..
 
'huyo mzazi mwenzake anaishi na mtu au yuko peke yake na jee kuna mawasiliano baina yenu yani wewe na yeye au yeye na mumewe pia mmefunga ndoa au laa na mtoto aliyepo hapo ni yupi na mtoto anayetaka kurudishwa ni yupi na alishaishi hapo wawe ndo ukaingia au ni nyumba ambayo hakuwahi kuishi jaribu kutujibu hayo maswali kwanza tuweze kupata mwanga ili upate kujua nini cha kufanya ndugu'

thanx....mzaz mwenzie haishi na mtu,,,mtt ni hyo aliezaa na mume wngu... nyumba hajawah kuish but alishawah kuja mara nying kipindi mimi sipo... mawasiliano nae sina na wala sijawah kuonana nae zaid ya kwny ndoto na picha... bado atujafunga ndoa ila tunategemea mwaka huu kufunga ndoa
 
kwanza unatakiwa uwe una sali na kufunga hao wanga wanakuchezea kwa hyo kabla ya kulala sali hzo maiti unazoona ni roho la mauti linakuandamana kemea na livunje kwa jna la Yesu mana hyo sio nzur kama mwislamu kuna jinsi ya kufanya hapo zdisha maombi kila kitu kitakuwa sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom