Nimekumbuka kabla sijahamia Taasisi/Shirika la Umma niliuliza kiwango cha mshahara kwa wadau wakanijibu ni Tsh1,525,000/= basi baada ya kuhamia nasoma mkataba naona ni Tsh1,350,000/= nilijisikia vibaya.
Nilipata furaha baada ya kuingiziwa posho Tsh150,000/= na Vocha Tsh50,000/= jumla Tsh200,000/=.
Mtoa mada huwezi kupata jibu sahihi hapa Jf.