Rajabu Msechu
Member
- Apr 13, 2016
- 35
- 18
Wasalaam memba wote wa Jf.
Matumaini yangu mu wazima wa afya.
Nahitaji kufahamishwa zilipo ofisi za NHIF wilaya ya Kinondoni.
Je, kwa mjasiriamali kama mimi naweza nikapata Huduma ya bima iyo pmj na familia yangu?
Gharama zake zikoje kwa mtu anayetaka kufungua daraja la tatu yaani Bronze?
Nawasilisha kwenu wajuvi wa mambo muweze kunifafanulia hili.
Matumaini yangu mu wazima wa afya.
Nahitaji kufahamishwa zilipo ofisi za NHIF wilaya ya Kinondoni.
Je, kwa mjasiriamali kama mimi naweza nikapata Huduma ya bima iyo pmj na familia yangu?
Gharama zake zikoje kwa mtu anayetaka kufungua daraja la tatu yaani Bronze?
Nawasilisha kwenu wajuvi wa mambo muweze kunifafanulia hili.