Kwanza hawa jamaa mashine zinasumbua sana mara mtandao hakuna pili hawajajiunga na mpesa, tigo pesa , airtel money wala easy pesa zaidi ya vocha.
Pia commision ni ndogo sana, kununia mashine ni lak 5 na salio la kuanzia ni laki 3 na nusu.
Nakushauri ukiwa na voda pesa sasa unaweza kuuza kuuza umeme, ukalipia DSTV, Startimes na DAWASCO na cammision ni 3% ya transaction.