wataalam wa kompyuta mnisaidie tafadhari, kila nikiwasha laptop yangu inaniletea maneno "startup repair" na inaleta alama flani kama inaload vile chini yake kuna maneno "atempting repairs..."
sasa imechukua muda mrefu sana bila kurudi katika hali yake
kwa mwenye ufahamu kuhusu hili anisaidie kwa ushauri tafadhar kuinusuru mashine yangu
na nikicancel inagoma inaandika operatiom cannot be cancelled
wataalam wa kompyuta mnisaidie tafadhari, kila nikiwasha laptop yangu inaniletea maneno "startup repair" na inaleta alama flani kama inaload vile chini yake kuna maneno "atempting repairs..."
sasa imechukua muda mrefu sana bila kurudi katika hali yake
kwa mwenye ufahamu kuhusu hili anisaidie kwa ushauri tafadhar kuinusuru mashine yangu
na nikicancel inagoma inaandika operatiom cannot be cancelled
wataalam wa kompyuta mnisaidie tafadhari, kila nikiwasha laptop yangu inaniletea maneno "startup repair" na inaleta alama flani kama inaload vile chini yake kuna maneno "atempting repairs..."
sasa imechukua muda mrefu sana bila kurudi katika hali yake
kwa mwenye ufahamu kuhusu hili anisaidie kwa ushauri tafadhar kuinusuru mashine yangu
na nikicancel inagoma inaandika operatiom cannot be cancelled
fanya window repair kama mdau alivyokueleza achana na swala la kupiga piga window hovyo na siyo Kila tatizo kwenye PC linatatuliwa na kushusha window
Muda mwingine kushusha window ovyo ndo uleta matatizo kwenye PC mfano kuuwa hard drive yako