Msaada kuhusu kupoteza hamu ya tendo la ndoa wakati wa ujauzito

Usiwaze kawaida.
Mimba ya kwanza wife alinipa Papa mpaka najiona hakuna km mm. Full joto huko chini. Napenda sana pregnant woman coz ya joto chini.

Mimba ya mtoto wetu wa pili ....Nilijutraaa. Hamu Hana niliteseka. Sema sisi tulikaa chini nikawa namtongoza. Namuambia mtoto ndani aki absorb manii yangu anakua na afya tele plus njia nahitaji kuikuza kila mara ili asipigwe kisu. Hizi fix na nyingine na search gugo namuonesha yaani in short nilianza kumtongoza. Akawa mtoto wa watu ananipa Papa lkn I can tell Kwa kua nimem convince tu baasi wala hataki.

Tena Ile week ya mwisho umpe Papa mara nyingi (this is serious) ili kutengeza njia vizuri na other reasons.
Kabla ya kwenda hospital labour mpanulie atie vitu wanashauri saaaana tena.
All the best.
 
Kabla ya kuoa nilisema sitochepuka kamwe na nilikuwa nawashangaa sana walio kwenye ndoa wanachepuka. Nimeoa na mke wangu ni mjamzito na hana kabisa hamu, yaani nalala imesimama na kuamka hivo hivo, nilijaribu kushauriana na marafiki zangu waliokwenye ndoa ambao nilijua hawachepuki , wakanambia kuchepuka ni kitu cha kawaida. Nina mpango nichepuke ili nisimvuruge wife na mood zake za mimba.
I guess mumeo anachepuka
 
hahaaa nimecheka Sana asee yaani hivi visirani cjui tunavitoa wapisema mtuvumiliege tu kwakweli hakuna namna
 
Kabla ya kuoa nilisema sitochepuka kamwe na nilikuwa nawashangaa sana walio kwenye ndoa wanachepuka. Nimeoa na mke wangu ni mjamzito na hana kabisa hamu, yaani nalala imesimama na kuamka hivo hivo, nilijaribu kushauriana na marafiki zangu waliokwenye ndoa ambao nilijua hawachepuki , wakanambia kuchepuka ni kitu cha kawaida. Nina mpango nichepuke ili nisimvuruge wife na mood zake za mimba.
I guess mumeo anachepuka
Hahaaa Mimi wa kwangu hachepuki
 
Habari za wakati huu wakuu. Mimi ni mjamzito wa wiki 24 nimekuja kwenu ili niweze kupata majibu ya maswali yangu.

Tatizo langu ni kwamba nimepoteza kabisa hamu ya tendo la ndoa mwanzoni nilikuwa najiforce ili nimpe haki mume wangu lakini baadae nikashindwa nikawa naumia nikaamua kumwambia mwenzangu akaelewa Ila cha kushangaza imekuwa Kama kawaida yaani hata mwenzangu anaonekana amezoea yaani tunalala tunaamka mpaka najiuliza ujauzito unaweza ukawa ndio sababu ya sote kukosa hamu ya tendo?

Au hii imekaaje wakuu.. naombeni kujua hili tatizo linasababishwa na nini na kama na je suluhisho lake ni lipi maana ndoa yetu ni changa na hii mimba ndo mtoto wetu wa kwanza..

Nitashukuru Mungu awabariki
Mtoto wa KIUME,na anahormone nying za kiume.kiufupi mtoto wako atakuwa kidume haswaaaa.


Hyo mimba,angekuwa wa kike,ungemsumbua htr.
 
Back
Top Bottom