Ahsante sana kaka kwa ushauri wako mzuri kabisa, nilichofanya ad sasa nimejisajili ndio ilihitaji hela lakini mkopo nilipata mkubwa km 90% ivyo baada ya kujisajili wiki iliyopita niukaandika barua ya kuhama kozi na majibu yanatoka baada ya wiki 2 apo UDSM. Sasa nimeamua nisipofanikiwa kubadili kozi ndo niache chuo nifanye application upya mwakani na niandike barua loan board km ulivoshauri, ahsante.