Msaada: Kuhusu ku trace simu iliyoibiwa

OSOKONI

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
10,965
Reaction score
5,344
Naomba msaada namna ya ku trace simu iliyoibiwa imei yake ninayo sasa niwasiliane vip na TCRA ili au tuipate au tuifunge??
 
We itrace tu ukamkamate aliyeuziwa maana aliyeiba kumkamata kazi.
 
Naomba msaada namna ya ku trace simu iliyoibiwa imei yake ninayo sasa niwasiliane vip na TCRA ili au tuipate au tuifunge??
Unatakiwa uende polisi. Uwaambie unataka ufungue kesi ili waweze kuitrace hiyo simu. Polisi ndio wataenda kwenye kampuni za simu kuitafuta/kuitrace
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…