Msaada kuhusu kozi ya Community development and Civil engineering

Msaada kuhusu kozi ya Community development and Civil engineering

kaisome tu,mbona wahitimu wake wanajua vitu,nishakutana nao wengi makazni na vyuoni.
 
Ama kweli nyie wote hamjaielewa kama mimi nilivyoshindwa kuelewa mpaka nikaamua kuna kutafuta wajuvi wanieleweshe. Course ni moja inaitwa ordinary diploma in community development and civil engineering
Sasa imenitatiza kuona imeunganika na community development, so mwenye uelewa wowote juu ya hili tafadhari anijuze
Ipo CDTTI MISUNGWI..right?!
Ni course nzuri. Inaitwa hvo coz Misungwi ni one among vyuo vinavyomilikiwa na Wizara ya maendeleo ya jamii currently wizara ya Afya maendeleo ya jamii......
So unapata kusoma mambo ya maendeleo ya jamii ukihusianisha na ufundi nini..cjui..[HASHTAG]#cjui[/HASHTAG] kiswahili cha civil#...hop umepata mwanga.
 
Mwenye uelewa wa hiyo course kwa level ya diploma please naomba anifahamishe. Maana sijawahi kuisikia ila hapa mtaani kuna chuo kwa level ya diploma na nataka niombe nafasi
Rekebisha heading, ondoa hyo versus...#CD vs Civil..apo una poteza maana..i think so
 
Mwenye uelewa wa hiyo course kwa level ya diploma please naomba anifahamishe. Maana sijawahi kuisikia ila hapa mtaani kuna chuo kwa level ya diploma na nataka niombe nafasi
Course yako ipo vizuri unaweza kupiga maana mimi nimegraduate ya COMMUNITY DEVELOPMENT yenyewe Chuo cha BUHARE kipo MARA na uzuri wa hii imemeza sehem nyingi yan ipo wide sana unaweza ukaanza nayo lakn mbeleni ukadecide uingie wapi na niliickia tu juu juu hyo ya COMMUNITY DEVELOPMENT AND CIVIL ENGINEERING iko vizur na ni wide zaid...

Pia hapo @ANTHONYKWEKA ameeleza vizuri zaid kwenye page no2
 
Course yako ipo vizuri unaweza kupiga maana mimi nimegraduate ya COMMUNITY DEVELOPMENT yenyewe Chuo cha BUHARE kipo MARA na uzuri wa hii imemeza sehem nyingi yan ipo wide sana unaweza ukaanza nayo lakn mbeleni ukadecide uingie wapi na niliickia tu juu juu hyo ya COMMUNITY DEVELOPMENT AND CIVIL ENGINEERING iko vizur na ni wide zaid...

Pia hapo @ANTHONYKWEKA ameeleza vizuri zaid kwenye page no2
Thanks mkuu
 
Moderator jamani hapo heading haina versus, ni kozi moja hiyo jama
 
Course yako ipo vizuri unaweza kupiga maana mimi nimegraduate ya COMMUNITY DEVELOPMENT yenyewe Chuo cha BUHARE kipo MARA na uzuri wa hii imemeza sehem nyingi yan ipo wide sana unaweza ukaanza nayo lakn mbeleni ukadecide uingie wapi na niliickia tu juu juu hyo ya COMMUNITY DEVELOPMENT AND CIVIL ENGINEERING iko vizur na ni wide zaid...

Pia hapo @ANTHONYKWEKA ameeleza vizuri zaid kwenye page no2
So mkuu uki graduate unawe,za fanya kazi kama nani labda? Soko lake kwa ajira likojr na pia kweny kujiajiri
 
Sio unasoma kozi Kwa ukubwa Wa jina suala ni je baada ya kusoma ina AJIRA? Mainjinia wanazurura mitaani
 
Wameshabadilisha, kazi kwenu wajuvi kuchangia mada
 
Back
Top Bottom