mzee alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 711
- 264
Mwenye uelewa wa hiyo course kwa level ya diploma please naomba anifahamishe. Maana sijawahi kuisikia ila hapa mtaani kuna chuo kwa level ya diploma na nataka niombe nafasi
Ama kweli wewe hujui lolote. Kwa ufahamu huo zote hazikufai
Kozi ya kijinga hyo Kasome Civil Engineering tu...
Acha kulinganisha Civil Engineering na vitu vya kijinga
Ama kweli nyie wote hamjaielewa kama mimi nilivyoshindwa kuelewa mpaka nikaamua kuna kutafuta wajuvi wanieleweshe. Course ni moja inaitwa ordinary diploma in community development and civil engineeringMwenye uelewa wa hiyo course kwa level ya diploma please naomba anifahamishe. Maana sijawahi kuisikia ila hapa mtaani kuna chuo kwa level ya diploma na nataka niombe nafasi
Mwanzaupo mkoa gani?community development ina ajira sana
kuna chuo kinaitwa tengeru institute of community development cha serikali kipo arushaMwanza
Acha kulinganisha Civil Engineering na vitu vya kijinga
Kwann mkuu unauelewa zaidi na hiyo course, maada wako ni wamuhim sana kwanguHujaelewa nilichoandika.. nimemwambia aachane na hyo kozi ya community development and civil engineering akasome Civil Engineering yenyewe... maana najua hyo kozi anayozungumzia ipo chuo cha Misungwi Mwanza
Owh, mbona prospectus ya dit na ya apo misungwi hakuna tofauti kuanzia level 5 mkuu?Hiyo kozi ya hapo misungwi ni ya ubabaishaji, mambo mengi hawasomi e. g Workshop technology hence inakuwa not marketable
Inategemea naMwenye uelewa wa hiyo course kwa level ya diploma please naomba anifahamishe. Maana sijawahi kuisikia ila hapa mtaani kuna chuo kwa level ya diploma na nataka niombe nafasi
Dah bonge la ushaul lakini ningependa nipate uelewa wa hiyo course maana zama za kuchagua kazi zishapita mkuuInategemea na
1… focus yako.
2..msingi wako kimasomo (Arts, Science au business)
Kigezo cha focus..Dah bonge la ushaul lakini ningependa nipate uelewa wa hiyo course maana zama za kuchagua kazi zishapita mkuu
OkayKigezo cha focus..
Kama unataka kuwa mtaalamu wa maendeleo jamii kwa ujumla basi COMMUNITY DEVELOPMENT IS THE BEST
kama unataka kuwa engineer yaani Fundi basi CIVIL ENGINEERING IS THE BEST.
kwa kigezo cha msingi
Kama umesoma masomo ya SANAA (ARTS) PURE na BIASHARA basi COMMUNITY DEVELOPMENT is the best
Kama umesoma Masomo yoote yaani (ARTS na SCIENCE=maths, physics. Chemistry, biology, nutrition, Agriculture, ICT, Electrical etc) basi CIVIL ENGINEERING is the best.
Kwa kigezo cha kipato (financial position)
Community development haina gharama kubwa saana kusomea (fee)
Ila engineer kwa kweli ni gharama kubwa zaidi.
Kigezo cha soko la ajira
Community development nafasi zake za kazi ni changamoto kidogo kutokana na wingi wa wahitimu wake na ufinyu wa nafasi zake.
Civil engineering nafasi zake za kazi ni nyiingi mno kutokana na wahitimu wake ni wachache saana
. DopeLazima kufanyaOkay. Dope
Nashukuru mkuuLazima kufanya
Situational analysis kwa makini saana b4 hujafanya decision yoyote.