Msaada kuhusu kozi bachelor of prosthetics and orthotics

Msaada kuhusu kozi bachelor of prosthetics and orthotics

Inahusiana na viungo bandia mkuu.
Hata mimi nimeiomba mkuu -kc003
 
Kiajira ni shida mana Hospitali zenye vifaa vya kutengeneza viungo bandia ni muimbili na kcmc
 
Vp upatikanaji wa ajira zake hapa nchini mkuu kwa miaka ya hivi karibuni
Kama umechaguliwa mshukuru mungu!! Umeshawahi jiuliza wangapi wanaanguka na boda boda na kwenye ajali mbali mbali??? Umejiuliza wangapi wanazaliwa wana disorders za viungo??? Je nan anaweza wasaidia hawa watu????


Kwa mujibu wa wanaosoma...hiyo kozi inahitaji utulivu maana humo utakutana na maths na phy (sikutishii maana utafundishwa)!!! Usihofu kuhusu ajira mkuu...omba umalize salama utaelewa namaabisha nini!!
 
jaman hii coz nayo ina mkopo asilimia mia na je kwa mwaka huu naskia mikopo inatolewa kwa means tested hata wale wa md pharmas nao n means tested
 
jaman hii coz nayo ina mkopo asilimia mia na je kwa mwaka huu naskia mikopo inatolewa kwa means tested hata wale wa md pharmas nao n means tested
Ndivyo alivyosema ndalichako means tests.
Ila afya kuna ambao hawatapata 100% mfano mtu kasoma feza gals kapata MD atapewa mkopo but not 100% ndvyo nijuavyo.
 
Hii kozi inahusiana na viungo bandia, wahitaji wa viungo bandia ni wengi tatizo ni upatikanaji wa material za utengenezaji wa hivi viungo bandia ndani ya Tanzania ambao umesababisha gharama za viungo bandia kuwa juu, kumudu gharama zake ni changamoto,na hospital nyingi za serikali zimeajiri Hawa wataalam lakini hawana vitendea kazi, ni shida sana kama Tanzania itaendelea kusubiri material kutoka nje badala ya kuwa na kiwanda chake, ajira za uhakika zipo private kwa wenye hivyo vitenge vya viungo bandia
 
Hii inataka kufanana na biomedical engineering ya DIT na ATC
 
Back
Top Bottom