Msaada kuhusu java protected file

Kaparo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2013
Posts
2,247
Reaction score
5,446
Habari,
Nimejitokeza hapa ili nipate ufafanuzi kuhusu jar protected files. Kuna program ina content ambazo nahitaji kuzi copy kwa ajili ya matumizi binafsi lakini nimegundua kwamba iko protected. Yaani huwezi fanya chochote na hizo content zilizomo tofauti na kusoma tu. Kisha kuziacha mpaka nafikia hatua ya kuchukua kalamu na daftari nianze kukopi. Naona kufanya hivyo kunanichukua muda mrefu sana. Kuhusu zile basics za ku highlight wala ku-rightclick nazo hazifanyi kazi.
Angalau ingekua website ningetumia firefox ku disable javascript.
Hiyo program kupata access yake mpaka uwe na data connection.
 
mkuu kuna kitu kinaitwa ocr ambayo inatambua maneno kwenye picha, njia rahisi ni kupiga screenshot halafu unaingiza kwenye program ya ocr na kubadili kuwa maandishi kawaida. unatumia kifaa gani?
 
mkuu kuna kitu kinaitwa ocr ambayo inatambua maneno kwenye picha, njia rahisi ni kupiga screenshot halafu unaingiza kwenye program ya ocr na kubadili kuwa maandishi kawaida. unatumia kifaa gani?
Ngoja niitafute hiyo ocr.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…