msaada kuhusu iphone 4 na 5

msaada kuhusu iphone 4 na 5

brill anwary

Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
5
Reaction score
0
nimeletewa iphones kutoka sweden, bt nimejaribu kuweka laini za tz zimekataa kusoma mtandao.
tatizo ni nini, na nini ni tiba yake?
 
Nenda kwa mafundi wa sim wataifanyia code changes but pesa ndefu kidogo kwa hali ya bongo na kushauri angalia price ya simu na gharama ya code changes
 
Back
Top Bottom