Msaada kuhusu internet ya halotel

bonem

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2015
Posts
235
Reaction score
55
Samahani wadau wa jukwaa hili, nimenunua line ya halotel kwa ajili ya matumizi ya Internet. Tatizo, ninapowasha data, inaonekana haijaunganishwa kwenye internet kwa hiyo nashindwa kufanya nayo kazi. Naitumia kwenye tablet. Nisaidieni waungwana wa humu jukwaani. Blessings
 
Weka Access point

Nenda 'settings'
Kisha 'mobile network'

Halafu 'Access point'

Ongeza access point (chagua new)

Kwenye access point name andika neno 'HITS' au neno lolote

Kwenye access point andika neno 'internet'

Done
Ok.

Muhimu, jitahidi ufike kwenye kuedit access point bila kujali mtiririko nilioonesha hapo juu, simu zinatofautiana.

Kila la heri.
 
je kwa 1000 huko halotel nitapata 1GB? au tangu wametuchanganyia rangi hawajarudisha hiyo huduma?

NB situmii laini ya chuo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…