msaada kuhusu hostel udsm

msaada kuhusu hostel udsm

Ni lazima wakupangie mkuu ila zikiisha unawaweza usipate pia.
 
meals and accommodation ni 1.785,000 ni kubwa ya mwaka huu dah
Meals and accomodation huwa ni zaidi ya hiyo pesa nikama mil 2+, hiyopesa utapewa yote na bodi ya mkopo kwenye acc yako kwa awamu, pia hostel udsm mabibo utalipia 71000 tu. Pesa iliyobaki utakula bata ,plus nyingine laki mbili utapatiwa ya books and stationary yayo utaipiga ,yaani chuo mambo ni moto.
 
Meals and accomodation huwa ni zaidi ya hiyo pesa nikama mil 2+, hiyopesa utapewa yote na bodi ya mkopo kwenye acc yako kwa awamu, pia hostel udsm mabibo utalipia 71000 tu. Pesa iliyobaki utakula bata ,plus nyingine laki mbili utapatiwa ya books and stationary yayo utaipiga ,yaani chuo mambo ni moto.
71,000 au 710,000 Mkuu?
 
Kuishi hostel za serikali ni gharama nafuu zaidi kuliko uraiani, akati mm nasoma hostel zilikuwa 6000 tu kwa mwezi. Pale mabibo hostel, tena zilikuwa mpya kabisa sisi ndo tulianza kuishi mlez, shida ilikuwa shuttle ni chache sana. Ukipata main campus utakuwa u.efusua balaaa
 
Meals and accomodation huwa ni zaidi ya hiyo pesa nikama mil 2+, hiyopesa utapewa yote na bodi ya mkopo kwenye acc yako kwa awamu, pia hostel udsm mabibo utalipia 71000 tu. Pesa iliyobaki utakula bata ,plus nyingine laki mbili utapatiwa ya books and stationary yayo utaipiga ,yaani chuo mambo ni moto.
No mabibo Ni 73,000
 
Meals and accomodation huwa ni zaidi ya hiyo pesa nikama mil 2+, hiyopesa utapewa yote na bodi ya mkopo kwenye acc yako kwa awamu, pia hostel udsm mabibo utalipia 71000 tu. Pesa iliyobaki utakula bata ,plus nyingine laki mbili utapatiwa ya books and stationary yayo utaipiga ,yaani chuo mambo ni moto.
wakati mnakula hizo pesa raha sana miguu juu mkianza kukatwa wanakuja hapa wanalilia na kulalamika,
 
Back
Top Bottom