CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,784
- 6,179
hii simu ni tecno juu ya cover imeandikwa camon..
ndani kwenye about phone imeandikwa tecno c 9
ila nikiingia net au nikiichomeka kwenye pc inasoma
tecno J8
je tatizo liko wapi?
na je nikitaka kuroot nitumie software ipi?
nikijibiwa itapendeza zaidi.
ndani kwenye about phone imeandikwa tecno c 9
ila nikiingia net au nikiichomeka kwenye pc inasoma
tecno J8
je tatizo liko wapi?
na je nikitaka kuroot nitumie software ipi?
nikijibiwa itapendeza zaidi.